
Rubani wa kijeshi ameripotiwa kuanguka na kufa kutoka kwenye ndege ya helikopta aliyokuwa akiendesha zaidi ya mita 1,300 angani wakati ya maonyesho ya ndege za kijeshi nchini Ubelgiji.
Rubani huyo alikuwa akiendesha helikopta aina ya Agusta A-109...