Search This Blog

Monday, September 4, 2017

Tuesday, August 9, 2016

KUTANA NA HISTORIA YA MWIZI WA BENKI ALIYESUMBUA MIAKA 30 BILA KUKAMATWA

MUHALIFU WA BENKI MWENYE AKILI KULIKO WOTE (THE MOST PROLIFIC BANK ROBBER).. (Taarifa ya Kusisimua). Mwaka 2021 ulimwengu utashuhudia mmarekani aliyefanikiwa zaidi kutekeleza matukio ya ujambazi akitoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miaka 17 baada ya kufanikiwa kuishawishi serikali na mahakama kupunguza kifungo chake kutoka miaka mia moja...
Share:

WARAKA MZITO WA LEMA KWA JPM

Mh Rais nakusalimu, sasa ni usiku wa manane nimeamka nikiwa natafakari mambo mengi lakini zaidi sana ni kuhusu mwenendo wa demokrasia katika Nchi yetu, nimekosa usingizi kabisa nikifikiri ni namna gani ninaweza kusaidia kwa mawazo yangu kufanikisha nia...
Share:

Monday, August 8, 2016

Saturday, July 2, 2016

MWANAUME AZIRAI BAADA YA KUKUTANA NA MCHEPUKO WAKE FACEBOOK AMBAYE NI MWANAE

Kulitokea kizaazaa mapema wiki hii jijini Nairobi baada ya jamaa mmoja kujipata kwenye njia panda. Jamaa huyu amekuwa na mpenzi wa Facebook ambaye aliamua wakutane kwenye mojawalo ya  lodgings jijini. Siku ya kukutana ilipofika, baba watoto akamhadaa mkewe kuwa ameenda biashara nje ya jiji na kuwa angerejea siku inayofuata. Asichojua mkewe ni...
Share:

Thursday, June 30, 2016

Wednesday, June 29, 2016

TANAPA SASA YAIKUMBUKA KIGOMA

Kigoma. Baada ya kuteseka muda mrefu, Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) inatarajia kuanza ujenzi wa madaraja manne yakatayounganisha barabara kuu ya Mahale hadi mji wa Kigoma. Hivi sasa watalii wanaotembelea Hifadhi ya Mahale wanalazimika kusafiri...
Share: